TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Tuesday, February 24, 2015

Rekodi hii inamfanya Cristiano Ronaldo kuingia kwenye list ya mashujaa wa Real Madrid

criiii
Neema imeendelea kubaki upande wa mshambuliaji Christiano Ronaldo baada ya juzi kuisaidia timu yake kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 na kumfanya kuwa mfungaji wa tatu kwa kuwa na magoli mengi katika historia ya soka la Hispania.
Katika mchezo wa juzi jumapili Ronaldo alihitimisha ushindi wao kwa kufunga goli la pili na kumfanya kufikisha jumla ya magoli 290.
Ronaldo ambaye pia mshindi wa tuzo ya Ballon d’Or  ya mwanamichezo bora wa dunia kwa mara ya tatu ameshika nafasi hiyo akiwa amecheza michezo 289 huku nafasi ya pili ikishikwa na Alfredo Di Stefano ambaye amecheza michezo 392 huku nafasi ya kwanza ikishikwa na Raul Gonzalez mwenye idadi ya magoli 323 katika michezo 741.

No comments:

Post a Comment