UZALISHAJI WA MAFUTA KUENDELEA -OPEC

Bei ya 
mafuta ulimwenguni imeendele kushuka kwa kiwango cha chini kwa kipindi 
cha miaka minne baada ya tamko la shirika la uzalishaji wa mafuta kwa 
wingi duniani OPEC ,kwamba halitaacha kuzalisha mafuta ili kuepusha 
kupanda kwa bei.
Kufuatia 
taarifa hiyo gharama ya mafuta ghafi imeshuka kwa dola elfu sabini na 
mbili za marekani,baada ya washirika kumi na mbili wa OPEC kuamua 
kuendelea na uzalishaji wa mafuta kwa mapipa elfu thelathini kwa siku.
Kwa 
muujibu wa mwandishi wa BBC wa masuala ya kiuchumi amesema kwamba 
muungano huo wa kikiritimba ili kudhibiti biashara ya mafuta hauna 
jipya,licha ya nchi kama Nigeria na Iran wangependa kusitisha uzalishaji
 ili bei ya mafuta ipande.
Saudi 
Arabia kwa kawaida hawako tayari kucheza mchezo wake wa asili wa 
kusawazisha soko la mafuta vinginevyo wazalishaji wote waamue kusitisha 
uzalishaji.
Mshirikishe mwenzako Unavyoweza kumshirikisha mwenzako.CHANZO:BBC
No comments:
Post a Comment