TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Friday, November 28, 2014

UZALISHAJI WA MAFUTA KUENDELEA -OPEC 


Bei ya mafuta ulimwenguni imeendele kushuka kwa kiwango cha chini kwa kipindi cha miaka minne baada ya tamko la shirika la uzalishaji wa mafuta kwa wingi duniani OPEC ,kwamba halitaacha kuzalisha mafuta ili kuepusha kupanda kwa bei.
Kufuatia taarifa hiyo gharama ya mafuta ghafi imeshuka kwa dola elfu sabini na mbili za marekani,baada ya washirika kumi na mbili wa OPEC kuamua kuendelea na uzalishaji wa mafuta kwa mapipa elfu thelathini kwa siku.
Kwa muujibu wa mwandishi wa BBC wa masuala ya kiuchumi amesema kwamba muungano huo wa kikiritimba ili kudhibiti biashara ya mafuta hauna jipya,licha ya nchi kama Nigeria na Iran wangependa kusitisha uzalishaji ili bei ya mafuta ipande.
Saudi Arabia kwa kawaida hawako tayari kucheza mchezo wake wa asili wa kusawazisha soko la mafuta vinginevyo wazalishaji wote waamue kusitisha uzalishaji.
Mshirikishe mwenzako Unavyoweza kumshirikisha mwenzako.CHANZO:BBC

No comments:

Post a Comment