TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Thursday, November 20, 2014

Hawa ni wanawake pekee waliopo kwenye listi ya watu Matajiri zaidi Afrika.

Isabela dos Santos
Isabela dos Santos
Unajua kwamba kwenye listi ya matajiri 50 Afrika kuna wanawake wawili wanaoingia kwenye listi ya matajiri hao?
Jarida la Forbes lilitoa listi ya matajiri hao ambapo Aliko Dangote mfanyabiashara kutoka Nigeria anaongoza kwenye listi hiyo.
Wanawake hao wawili ni Isabel dos Santos ambaye ni mtoto wa aliyekuwa Rais wa Angola, Jose Eduardo dos Santos amewekeza kwenye miradi mbalimbali ikiwemo kampuni za mitandao ya simu za mkononi ni mwanamke tajiri zaidi ambaye ameingia kwenye listi hiyo, pamoja na Folorunsho Alakija ambaye ni mfanyabiashara na mwanamitindo wa Nigeria.
Folorunsho Alakija
Folorunsho Alakija

No comments:

Post a Comment