TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Tuesday, November 12, 2013

UMOJA WA MATAIFA KUONGEZA MAJESHI YA AMISOM 

AU 9fd76
Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa limeagiza nyongeza ya wanajeshi elfu nne zaidi kusaidia kikosi cha Umoja wa Afrika kinachopambana na wanamgambo wa Somalia. (HM)

Baraza hilo pia liliidhinisha Umoja wa Mataifa kutoa msaada wa chakula , maji na vifaa vingine kwa jeshi la kitaifa la Somalia,wakati linapofanya operesheni za pamoja na kikosi cha Umoja wa Afrika nchini humo kinachojulikana kama AMISOM.
Uingereza ilidhamini azmio hilo kupitia balozi wake katika Umoja wa Mataifa Mark Lyall Grant. Balozi huyo alisema kikosi cha AMISOM kimefanya juhudi kubwa kudhoofisha nguvu za kundi la wanamgambo wa al- Shabab. Chanzo: Voaswahili

No comments:

Post a Comment