TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Sunday, November 3, 2013

KUTANA NA PASTOR STARFFORD GODSON JACOB WA HUDUMA YA GOOD NEWS FOR ALL NATIONS 'INTERDENOMINATIONATIONAL' 'HABARI NJEMA KWA MATAIFA YOTE' ILIYOPO MAJOHE KWA WALIOBA , AMBAPO MUNGU AMEKUWA AKIMTUMIA KWA NJIA YA PEKEE KUWAFUNGUA MATEKA WALIOFUNGWA KWA KAMBA ZA MINYORORO YA ADUI.
Mzee Jumanne akiongozwa sala ya toba na Mchungaji baada ya kumkubali Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wake

Mchungaji Starfford akiwa madhabahuni kwenye Ibada ya Jumapili  akiwafundusha waumini wake neno la Mungu

Waumini wakiwa wameguswa na ujumbe wa Bwana uliotoka madhabahuni




Family Mulaba kwaya ikiwa inatumbuiza wakati wa ibada ya Jumapili


Matendo ya Mungu ni ya ajabu mzee huyo unayemuona hapo pichani  amefika hapo kanisani kwenye ibada akiwa na tatizo la kupooza miguu kwa muda wa miaka minne , lakini kwa msaadawa mke wa alifikishwa hapo kanisani na kufanyiwa maombi hatimaye amefanikiwa kunyanyuka hapo kwenye kiti kama anavyoonekana

Kama mnavyomuona mzee wa kupooza kwa miaka minne akiwa amesimama mwenyewe huku mchungaji akiwa ameshika mkono kumpongeza kwa yale mungu aliyomtendea katika maisha yake

Waumini wakiwa na furaha kuona yale Mungu aliyemtendea mzee huyo.

Hakika Mungu ni mwema kwa wale wanaomtumaini na kumwamini pale unapompa maisha yako lazima afanye kitu tofauti katika maisha yako.Ukitaka kutyaona hayo yote fika kwenye Ibada zetu siku ya Jumapili ibada inaaza saa 2asubuhi hadi saa 7 mchana . kwa mawasiliano zaidi wasiliana nasi kwa namba za simu zifuatazo . 0713 055 459 / 0754 33 5051 wote mnakaribishwa nyumbani mwa Bwana.

No comments:

Post a Comment