TERRY KUUNGANA NA DROGBA GALATASARAY

John Terry
KLABU
ya Galatasaray ina mpango wa kumsajili beki wa John Terry kwa mkataba wa
miaka mitatu, ikimpa mshahara wa Pauni 200,000 kwa wiki.
Klabu hiyo ya Uturuki inayotumia fedha
nyingi katika usajili, ambayo iliwasajili Didier Drogba na Wesley
Sneijder Januari, inaamini inaweza kumshawishi Nahodha huyo wa Chelsea
mwenye umri wa miaka 32 kumaliza mapenzi yake na Stamford Bridge baada
ya miaka 14 ya mafanikio. Chanzo: sportmail

Drogba
No comments:
Post a Comment