TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Sunday, May 12, 2013

TERRY KUUNGANA NA DROGBA GALATASARAY
terry 99570
John Terry

KLABU ya Galatasaray ina mpango wa kumsajili beki wa John Terry kwa mkataba wa miaka mitatu, ikimpa mshahara wa Pauni 200,000 kwa wiki.

Klabu hiyo ya Uturuki inayotumia fedha nyingi katika usajili, ambayo iliwasajili Didier Drogba na Wesley Sneijder Januari, inaamini inaweza kumshawishi Nahodha huyo wa Chelsea mwenye umri wa miaka 32 kumaliza mapenzi yake na Stamford Bridge baada ya miaka 14 ya mafanikio. Chanzo: sportmail

drogba2 c916d

Drogba

No comments:

Post a Comment