TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Wednesday, May 29, 2013

MOYES ATAKA KUMSAJILI FABREGAS MAN UNITED
fab2 dbe7e

Fabregas
 fab dd9b4
KOCHA mpya wa Manchester United, David Moyes anataka mchezaji wake wa kwanza kumsajili, awe kiungo wa zamani wa Arsenal, Cesc Fabregas.
Kocha huyo mpya wa Mashetani Wekundu anataka mchezeshaji huyo atue Old Trafford kumaliza tatizo la safu ya kiungo la Manchester United na klabu yake ya sasa, Barcelona iko tayari kumuuza nyota huyo wa Hispania.
Huku Paul Scholes akistaafuna Anderson kushindwa kumaliza tatizo la safu hiyo, Fabregas anaweza kuwa suluhisho kwa mabingwa hao. Arsenal walipewa kipaumbele cha kumsajili tena Fabregas wakati atakapoondoka Barcelona, lakini Manchester United wanajiamini wataizidi nguvu Gunners kwa ushawishi wa kifedha.

No comments:

Post a Comment