TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Friday, May 31, 2013

HALI YA M TO THE P YAIMARIKA...... NGWAIR ATARAJIWA KUAGWA JUMAPILI


-Msanii M2 the P anaendelea vizuri, leo ameweza kuongea na ametolewa ICU kupelekwa wodini
  
-Mwili wa Albert Kenneth Mangwair unatarajiwa kuwasili jijini Dar Jumamosi Juni 1, 2013 na kuhifadhiwa katika Hospitali ya Taifa, Muhimbili.

 
-Ngwair anatarajiwa kuagwa siku ya Jumapili katika Viwanja vya Posta Kijitonyama jijini Dar.

 
-Msanii Bushoke alaani watu wanaotoa taarifa zisizo sahii kuhusu sababu za kifo cha Ngwair pamoja na kusambaza picha za mwili wa marehemu kwenye mitandao ya kijamii.

No comments:

Post a Comment