TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Sunday, May 18, 2014

Mafuriko sio Dar tu, yamewakuta na ndugu zetu wa Serbia, Bosnia na Austria.

Screen Shot 2014-05-19 at 5.12.50 AM
Bado Dar es salaam na mikoa jirani haijasahau kilichotokea wiki chache zilizopita baada ya mvua iliyopitiliza kunyesha mfululizo kwa siku kadhaa na kusababisha vifo, majeruhi na wengine kukosa makazi kwa muda.
Hizi ni picha kutoka vyombo mbalimbali vya habari ikiwemo Euro News za kilichowakuta ndugu zetu wa Serbia, Bosnia na Austria ambapo kwenye sehemu kama Bosnia imebidi zitumike Helikopta kuokoa watu waliokua wamesimama juu ya nyumba zao baada ya maji kuzidi.
Wanasema katika eneo hilo maafuriko haya ni ya kipekee kuwahi kutokea ndani ya kipindi cha miaka mia moja na ishirini ambapo yamesababisha zaidi ya nyumba laki tatu kukosa umeme huku vifo vikizidi kuongezeka na kufikia 37 huko Serbia kwa mujibu wa shirika la habari la Reuters.
Screen Shot 2014-05-19 at 5.06.01 AM
Kwa sasa kazi inafanywa na Wanajeshi, Polisi na vikosi vingine vya uokoaji kwenye sehemu ambayo imeathirika na bado watu wamo.
Screen Shot 2014-05-19 at 5.41.55 AM
Screen Shot 2014-05-19 at 5.05.50 AM
Screen Shot 2014-05-19 at 5.06.28 AM
Screen Shot 2014-05-19 at 5.07.58 AM
Screen Shot 2014-05-19 at 5.09.46 AM
Screen Shot 2014-05-19 at 5.10.16 AM
Screen Shot 2014-05-19 at 5.11.38 AM
Screen Shot 2014-05-19 at 5.11.57 AM
Screen Shot 2014-05-19 at 5.12.50 AM
Screen Shot 2014-05-19 at 5.13.15 AM
Screen Shot 2014-05-19 at 4.31.07 AM
Screen Shot 2014-05-19 at 4.31.20 AM
Screen Shot 2014-05-19 at 4.31.40 AM
Unaweza kutazama hii video hapa chini ili kuona zaidi.

No comments:

Post a Comment