TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Friday, May 10, 2013

AC MILAN YAITWANGA PESCARA 4-0 KUCHEZA CLABU BINGWA MSIMU UJAO 
ba1 32300
Balotelli akifunga bao

ba2 05227
Balotelli akisgangilia na wachezaji wenzake

ba 288c9
Balotelli

MTALIANO Mario Balotelli amefunga mabao mawili usiku huu ikiwemo penalti babu kubwa, akiiwezesha AC Milan kupata nafasi ya kucheza Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kuichapa Pescara mabao 4-0.

Mshambuliaji huyo wa zamani wa Manchester City alifunga bao lake la kwanza kwa penalti kabla ya kufunga lingine katika mechi ambayo wachezaji wengine waliowahi kucheza Ligi Kuu ya England, Sulley Muntari na Mathieu Flamini walifunga.

Amekuwa na mafanikio tangu arejee Italia na Milan wamekuwa hawafungwi katika mechi ambazo anacheza Serie A, ikishinda nane na kutoa sare tatu. Chanzo: binzubeiry

No comments:

Post a Comment