TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Wednesday, May 8, 2013

SUZA KUWA MWENYEJI WA OIC
IMG 1339 3128e
Ujumbe wa Nchi ya Omani ukiambatana na Maafisa wa Umoja wa Nchi za Kiislamu Duniani OIC ukiwasili Zanzibar kwa lengo la kufanya maandalizi ya Mkutano Mkuu wa OIC utakaofanyika Mwezi Septemba Visiwani Zanzibar.
 
IMG 1364 00483

IMG 1373 461a1
Mwenyekiti wa Mamlaka ya Kumbumbuku na Nyaraka ya Nchi ya Oman Dkt. Hamed Mohammed ambaye ni Mkuu wa Ujumbe huo akifafanua jambo katika Mkutano wa maandalizi ya Mkutano Mkuu wa OIC utakaofanyika Mwezi Septemba Visiwani Zanzibar, katikati ni Kaimu Mkuu wa Chuo Kikuu SUZA na kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa OIC katika Kitengo cha Utafiti na Utamaduni Dkt. Halit Eren

No comments:

Post a Comment