MAN U YATWAA UBINGWA KWA MARA 20 KATIKA HISTORIA YA LIGI KUU UINGEREZA

Magoli matatu ya Robin Van Persie yaliifanya Manchester United kutwaa Ubingwa wa 20 katika Historia ya ligi kuu ya Uingereza:

Mashabiki wa United wakiwa na jezi zenye maana ya kombe la 20

Van Persie na Rio Ferdinand wakicheza gangnam kusheherekea ubingwa:CHANZO BBC.
No comments:
Post a Comment