TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Friday, April 26, 2013

KENYATTA ATANGAZA MAJINA 12 YA MAWAZIRI
3 ff781
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta (kushoto) akiwa na Makamu wa Rais William Ruto wakati wa kutangaza majina ya Mawziri wapya.
Orodha ya leo imefanya idadi ya Mawaziri hao walioteuliwa kufikia Mawaziri 16 huku wananchi wakiendelea kusubiri nafasi mbili kwani awali Rais Kenyatta aliutangazi umma kuwa baraza lake la mawaziri litakuwa na watu 18 tu:CHANZO MWANANCHI.

No comments:

Post a Comment