SERIKALI KUZIJENGEA UWEZO WIZARA KATIKA UBIA
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu 
(Uwekezaji na Uwezeshaji), Dk. Mary Nagu (Mb) akieleza dhamira ya 
Serikali ya kuzijengea uwezo Wizara na Idara zake zinazohusika moja kwa 
moja na utekelezaji wa Sera ya Ubia baina ya Sekta ya Umma na Sekta 
Binafsi (PPP) wakati alipofungua mafunzo ya Ubia baina ya Sekta ya Umma 
na Sekta Binafsi leo Mjini, Morogoro, Wa kwanza  Kulia ni Mtaalamu wa 
masuala ya PPP kutoka Taasisi ya IP3 nchini Marekani, Bw. Jackues Cook  
na wapili ni  Kamishina wa PPP- Wizara ya Fedha Bw. Frank Mhilu na 
kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Ofisi ya Waziri Mkuu, Bw. John Mboya.
No comments:
Post a Comment