TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Sunday, October 7, 2012

NCHIMBI AKABIDHIWA RIPOTI YA MAUAJI YA MWANGOSI

























Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Uchunguzi ambaye pia ni Mhariri Mtendaji Mkuu wa Mwanachi Communications Ltd (MCL) Theophil Makunga (kulia) akimkabidhi Waziri wa Mambo ya Ndani, Dkt. Emmanuel Nchimbi ripoti ya Kamati aliyoiundwa kuchuguza kifo cha aliyekuwa mwandishi wa Channel Ten mkoani Iringa, Daudi Mwangosi .Kulia ni Mjumbe wa kamati hiyo, Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Issaya Mngulu. Mkabidhiano hayo yalifanyika jijini Dar es Salaam jana.

No comments:

Post a Comment