TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Monday, October 8, 2012

CHUKUA TAHADHALI AJALI ZINAKATISHA MAISHA YA WATU !





















Dereva wa Bodaboda na abiria wake wakiwa wamepoteza maisha baada ya kupata ajali barabara Bagamoyo eneo la Makongo , watu hao hawakuweza kufahamika majina yao kwa haraka, ajali hiyo imetokea  baada gari aina ya Starlet yenye namba za usajiri T 838 BKB kugongana na pikipiki hiyo  yenye namba za usajiri T 491 BFY, na kufariki dunia papo hapo. Ajali hiyo ilitokea jana asubuhi, Pichani ni raia akijaribu kutambua mwili wa marehemu katika ajali hiyo.

No comments:

Post a Comment