SELENA GOMEZ AANZA KUJITEGEMEA

MWANAMUZIKI Selena Gomez anatarajia kuanza kununua mjengo wake na kuanza maisha ya kujitegemea.
Kabla ya kupata wazo la kuondoka nyumbani, Selena mwenye umri wa miaka 21, amekuwa akiishi na mama yake mzazi pamoja na baba wa kufikia ambaye pia ana watoto wake.
Kabla ya kupata wazo la kuondoka nyumbani, Selena mwenye umri wa miaka 21, amekuwa akiishi na mama yake mzazi pamoja na baba wa kufikia ambaye pia ana watoto wake.

“Ndiyo, unajua… nafikiri ndiyo muda muafaka. Napenda kuishi pamoja na familia yangu niliyoizoea lakini muda umefika na mimi napaswa kuwa na mji wangu,” alisema Selena pasipo kuweka wazi eneo analotaka kuhamia.
No comments:
Post a Comment