TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Saturday, July 20, 2013

BASI LA NAJMUNISAL LAPATA AJALI NA KUUWA WANNE DODOMA

Basi la Najmunisa linalofanya safari zake kati ya mikoa ya Dar es Salaam na Mwanza limepata ajali katika eneo la Mbande mkoani Dodoma na kuua watu wanne huku likiacha majeruhi kadhaa.
Basi hilo lililokuwa linaelekea Mwanza lilipata ajali hiyo baada ya kupasuka tairi la mbele.
Mali za abiria inaelezwa zipo salama kutokana na uwepo wa Check Point ya polisi jirani na eneo la ajali.

No comments:

Post a Comment