TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Sunday, January 27, 2013

VURUGU ZILIZOTOKEA MTWARA KATIKA MGOGORO WA GESI  MHE. PINDA AZUNGUMZA NA WANANCHI 
Moja ya nyumba ikiteketea wakati wa vurugu mkoani Mtwara ambapo magari 18, pikipiki 7 viliteketezwa kwa moto  vyote vikiwa ni mali za halmashauri ya Masasi na baadhi ni vya watumishi wa halmashauri hiyo.
Gari la wagonjwa likiteketea kwa moto.

Sehemu ya magari yakiendelea kuteketea kwa moto.
Jengo la Mahakama lililochomwa moto.
Nyumba inayosemekani ni nyumba ya waziri ikiwa imeharibiwa vibaya.
 
Nyumba inayosemekana ni ya Mwenyekiti wa CCM baada ya kuharibiwa.

Baadhi ya Viongozi wa Vyama vya siasa  na viongozi wa ASAs mbalimbali wakionyosha mikono kuomba idhini ya kuchangia  katika mkutano kati yao na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kuusu mgogoro wa gesi kwenye ukumbi wa VETA mjini Mtwara Januari 27, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment