TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Friday, January 11, 2013

MAKAMO WA PILI WA RAIS AZINDUA NYUMBA ZA WAZEE
Nyumba mpya za Wazee Sebleni zilizofunguliwa na Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi,huko Sebleni Mkoa wa Mjini Magribi.ikiwa ni Miongoni mwa Shamra shamra za Miaka 49 ya Mapinduzi ya Zanzibar.

Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi akimpatia Funguo za Chumba Bi Tiba Vuai katika Nyumba Mpya za Wazee Sebleni Mjini Zanzibar,baada ya Kuzifungua Nyumba hizo.ikiwa ni Miongoni mwa Shamra shamra za Miaka 49 ya Mapinduzi ya Zanzibar.

Baadhi ya Wazee wa Sebleni wakimsikiliza Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi hayupo pichani wakati alipokwenda kuzifungua Nyumba Mpya za Wazee Sebleni Mjini Zanzibar.

No comments:

Post a Comment