TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Wednesday, January 30, 2013

BALOTELI AAFIKI MIAKA MINNE AC MILAN
AC Milan wameafiki dili la kumsajili straika wa Manchester City, Mario Balotelli kwa mkataba wa miaka minne na nusu, mkurugenzi wa klabu hiyo ya Italia, Umberto Gandini, amethibitisha.

Straika wa zamani wa Inter Milan, Balotelli (22) atafanyiwa vipimo vya afya mjini Milan Jumatano kabla ya kusaini mkataba wake.

Ada ya awali ya uhamisho inaaminika kuwa ni paundi milioni 19 ambayo inasemekana imeshalipwa na huenda ikaongezeka kufikia paundi milioni 22.

No comments:

Post a Comment