TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Friday, September 25, 2015

Wajue Marais wa Afrika waliovunja rekodi kwa kukaa muda mrefu madarakani..

Nchi nyingi katiba huruhusu kiongozi wa nchi kukaa madarakani kwa mihula miwili lakini nyingine zimekuwa zikibadilisha katiba zao ili tu waendelee kubaki madarakani.
Wapo marais wengine wa Afrika ambao wamevunja rekodi kwa kukaa madarakani kwa kipindi kirefu na wengine kusababisha hata migogoro ya kisiasa ndani ya nchi zao.
Wajue Marais waliovunja rekodi kwa kukaa muda mrefu madarakani.

guinea
1. Teodoro Obiang Nguema Mbasogo -Rais wa Equatorial Guinea, amekaa madarakani kwa miaka 36

2. Jose Eduardo dos Santos-Rais wa Angola, amekaa madarakani miaka 36

mug
3. Robert Mugabe-Rais wa Zimbabwe amekaa madarakani kwa miaka 35

biya
4. Paul Biya- Rais wa Cameroon, amekaa madarakani kwa miaka 32

ngoo
5. Denis Sassou Nguesso – Rais wa Congo, amekaa madarakani kwa miaka 30

museven
6. Yoweri Museven- Rais wa Uganda, amekaa madarakani kwa miaka 29

No comments:

Post a Comment