TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Monday, September 21, 2015

Picha 11 nje ya Mahakama baada ya Mwimbaji wa Gospel Emmanuel Mbasha kushinda kesi ya kubaka

September 21 2015 moja ya stori kubwa iliyogusa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania ni ishu ya Hukumu ya kesi ya Mwimbaji wa Gospel Tanzania, Emmanuel Mbasha ambapo alikuwa anakabiliwa na Kesi ya kumbaka shemeji yake na kesi imekuwa Mahakamani tangu mwaka 2014.
IMG_20150921_112732
Stori kwenye Ukurasa wa 5 Gazeti MWANANCHI, September 21 2015.
Tayari hukumu ya Kesi hiyo imetolewa Mahakama ya Wilaya ya Ilala Dar es Salaam leo, Mwimbaji huyo ameachiwa huru baada ya Mahakama kumkuta hana hatia kwenye Kesi hiyo.
Screen Shot 2015-09-21 at 11.58.58 AM
Emmanuel Mbasha akiwa amepiga magoti huku akitokwa machozi nje ya Mahakama ya Ilala, Dar es Salaam baada ya Hukumu kutolewa.
Hizi hapa Picha nje ya Mahakama ya Ilala baada ya Hukumu kutolewa Mahakamani na Emmanuel Mbasha kutoka nje ya Mahakama.

Screen Shot 2015-09-21 at 11.59.05 AM
Screen Shot 2015-09-21 at 11.59.12 AM
Screen Shot 2015-09-21 at 11.59.36 AM
Screen Shot 2015-09-21 at 11.59.21 AM
Screen Shot 2015-09-21 at 11.59.28 AM
Screen Shot 2015-09-21 at 11.59.42 AM
Screen Shot 2015-09-21 at 11.59.49 AM


Screen Shot 2015-09-21 at 11.59.57 AM
Screen Shot 2015-09-21 at 12.00.02 PM

No comments:

Post a Comment