TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Monday, September 28, 2015

Mwaka mmoja tangu kupotea wanafunzi Mexico, msimamo wa wazazi ni huu..Serikali je?

Tarehe kama ya leo Mexico iliingia kwenye headlines baada ya kuwepo na taarifa ya kupotea kwa wanafunzi 43 katika mji wa Iguala Kusini mwa nchi hiyo.
Demonstrators take part in a march to mark the first anniversary of the disappearance of the 43 students from Mexico's Ayotzinapa College Raul Isidro Burgos, in Mexico City, September 26, 2015. REUTERS/Ginnette Riquelme
Pamoja na kuwepo utata wa kupotea kwa wanafunzi hao huku ndugu wa wanafunzi hao wakigoma kupokea taarifa ya Serikali iliyotolewa baada ya uchunguzi uliodai wanafunzi hao walitekwa na kuuawa na kundi la kigaidi.
MEXICO2
Maelfu ya ndugu na jamaa wa wanafunzi hao wakiandamaa nchini humo
Ripoti hiyo haijakataliwa tu na ndugu wa wanafunzi hao, bali pia ripoti kutoka kwa kundi la wataalamu wa uchunguzi hivi karibuni ilihoji uhalali wa ripoti hiyo ya uchunguzi wa serikali.
Ndugu wa wanafunzi hao wamesisitiza kuwa hawataacha kuandamana hadi pale watakapojua ukweli juu ya ndugu zao hao.
MEXICO3
Rais wa Mexico Enrique Pena Nieto, ameahidi uchunguzi upya ufanywe.

No comments:

Post a Comment