TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Wednesday, September 9, 2015

Ushauri wa Arsene Wenger kwa Thierry Henry kama anataka kupata mafanikio katika ukocha

Kocha wa klabu ya Arsenal ya Uingereza Arsene Wenger ambaye amewahi kumfundisha Thierry Henry kama mchezaji wake kwa miaka mingi, Wenger amemshauri Thierry Henry kama kweli ana nia ya dhati ya kutaka kupata mafanikio kama kocha katika soka.
2C00228A00000578-0-image-a-5_1441721092573
Wenger amemshauri Henry ambaye kwa sasa anaifundisha timu ya Arsenal chini ya umri wa miaka 18 kuwa, kama kweli anataka kupata mafanikio katika ukocha inabidi apate ushauri wa kisaikolojia katika akili yake. Henry anafundisha kikosi hicho cha vijana huku akipata mafunzo  ya ukocha.
0F6507DB00000578-0-image-a-3_1441721083367
Henry ambaye anaheshima ya kuwa mfungaji bora wa klabu ya Arsenal kwa muda wote, alisajiliwa na Wenger akitokea klabu ya Juventus ya Italia mwaka 1999 ila Wenger amemueleza utofauti uliyopo kati ya kuwa mchezaji na kuwa kocha.

No comments:

Post a Comment