TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Tuesday, September 15, 2015

Jamaa kakosea kutuma ujumbe ukaenda kwa Polisi ili apatiwe dawa za kulevya…kilichofuata?

William Lamberson raia wa Florida,Marekani amejikuta mikononi mwa polisi baada ya kutuma ujumbe wa maneno kwa Polisi akidhani ni rafiki yake.
jamaa
Ujumbe huo ulilenga kutaka apatiwe dawa za kulevya kutoka kwa rafiki yake huyo ambaye walikuwa wakishirikiana katika biashara hiyo lakini alikosea na kujikuta ukienda kwa  Brian Bergen ambaye ni kiongozi wa Polisi.
Polisi walianza kufanya uchunguzi wao na kugundua Lamberson anajihusisha na uuzaji wa dawa hizo hivyo baada ya uchunguzi aliwekwa ndani na kufunguliwa mashtaka ya kujihusiha na biashara hiyo haramu.

No comments:

Post a Comment