TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Wednesday, September 2, 2015

Chelsea yamsajili Michael Hector kutoka Reading, lakini yafanya maamuzi haya

Klabu ya soka ya Chelsea imefunga dirisha la usajili msimu huu kwani, kwa Uingereza dirisha la usajili lilikuwa limefungwe jioni ya Septemba 1 wakati kwa upande wa Hispania na Ufaransa wao dirisha la usajili lilifungwa usiku wa August 31.
1
Chelsea imemalizia usajili wake kwa kumsajili beki kutoka katika klabu ya Reading Michael Hector lakini imemsajili na kumuacha aendelee kucheza kwa mkopo katika klabu hiyo, Chelsea imeendeleza utamaduni wake wa kutoa wachezaji wengi kwa mkopo.
Michael Hector mwenye umri wa miaka 23 hadi anasajiliwa na Chelsea, alikuwa ameichezea klabu ya Reading mechi 49 katika mashindano yote, ikiwa ni pamoja na dakika 120 za mchezo wa nusu fainali ya Kombe la FA na kufungwa na klabu ya Arsenal.

No comments:

Post a Comment