TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Monday, September 7, 2015

Hadi July 2014 hawa ndio mastaa 12 wa soka wanaotajwa kuwa wakali wa mitindo (Pichaz)

Hadi July 2014 mtandao wa artbecomesyou.com ulikuwa unawataja mastaa kadhaa wa soka kuwa ndio wakali wa style za mavazi. Licha ya watu wengi kuwa wanaamini kuwa ukiwa na fedha, utakuwa unavaa sana pamba na mkali wa mitindo, ndio ni kweli ili upendeze lazima uingie gharama, unaweza vaa vitu vya gharama lakini usipendeze kutokana na mpangilio wako, ila mastaa hawa ndio wanaotajwa kuwa wakali katika masuala ya mavazi.
  1. David Beckham jamaa ana nyota ya kupendwa kutokana na muonekano wake na ustaa wake kapewa nafasi ya kwanza katika masuala ya kupangilia pamba na mitindo.
tumblr_n7c356d5421tsihnno1_500
tumblr_n7fro0LcGG1qdc9jlo1_1280
British footballer David Beckham carries his daughter Harper Beckham as they arrive at Balthazar restaurant in SoHo, New York City. David and Harper were coming from Victoria Beckham's fashion show. Pictured: David Beckham Ref: SPL434412 090912 Picture by: Christopher Peterson/Splash News Splash News and Pictures Los Angeles: 310-821-2666 New York: 212-619-2666 London: 870-934-2666 photodesk@splashnews.com
2. Samuel Eto’o uhodari wake haukuishia uwanjani tu hata katika masuala ya mitindo huwa ni mkali pia.
ad767-4
Samuel+Eto+o+Fundaction+Privada+Samuel+Eto+uNXenbyVQ2Ux
eto-o-est-toujours-fan-de-paris-et-mise-sur-le-psg-iconsport_ppp_080412_05_0140838
3. Daniel Sturridge huyu ni mkali wakuzifumania nyavu katika soka, kwa suala la mitindo tu yupo vizuri.
4ac95-b75b4f7ea7b511e3a5d612f86b3e3bb7_8 5a241-1389775_294187804065793_1846354355_n
article-2562243-1B9C46E700000578-684_634x523
4. Raul Meireles staa kutokea Ureno anatajwa kama mgonjwa wa masuala ya mitindo na mavazi japo mavazi yake mingine du!! watu hushangaa ila naye yumo katika hii list.
d54340bd41e705b38589f0ec3633c1af
5270590aa2c9b86ff3863f561edd0090
5. Cristiano Ronaldo tumezoea kumuona akiwa katika headlines kutokana na jina lake, kwa mavazi tu yupo vizuri.
Cristiano+Ronaldo+Ties+Narrow+Solid+Tie+Sghx9PiErcBx
Cristiano+Ronaldo+Outerwear+Leather+Coat+tsZHwCXEL9gx
cristiano-ronaldo-gucci-blazer-jacket-spring-2011-scarf-sneakers1
6. Didier Drogba style yake ya nywele pekee inatosha kumjua kuwa ni mtu wa masuala ya kwenda na wakati (Fashion)
Didier+Drogba+Fundaction+Privada+Samuel+Eto+F-KN1J2qRrEx
Didier+Drogba+Jeans+Classic+Jeans+g6m6ejzeljYx
Didier Drogba
Didier+Drogba+Outerwear+Leather+Jacket+TNL6LQM4KU-x
7. Thierry Henry heshima yake haijaishia katika klabu ya Arsenal na timu ya taifa ya Ufaransa, hata katika ulimwengu wa Fashion wanamtambua.
Thierry+Henry+New+York+Red+Bulls+Introduce+Ge8NKT1Aolkx
Thierry+Henry+David+Beckham+Good+Morning+America+D1wht_JJqGCx
thierry-henry-photos-0004
8. Mario Gomez anatajwa kuwa na muonekano wa models wa fashion hivyo jina lake na muonekano wake humfanya apate mikataba ya kutangaza nguo wakati mwingine.
05_Gallery_Mario_Gomez
eye-candy-mario-gomez-24
9. Sergio Ramos yupo sawa na mchezaji mwenzie wa Real Madrid Cristiano Ronaldo, wote ni wakali katika masuala ya fashion.
Sergio+Ramos+Spain+Training+Session+-mnJK6tYRapx
MADRID, SPAIN - FEBRUARY 13: (EXCLUSIVE COVERAGE) Sergio Ramos and Pilar Rubio are seen leaving a restaurant on February 13, 2013 in Madrid, Spain. (Photo by Europa Press/Europa Press via Getty Images)
sergio-ramos
Sergio+Ramos+Spain+Training+Session+IdRhUBTCXnfx
10. Djibril Cisse ni staa kutokea Ufaransa, kwanza ana muonekano wa kipekee tofauti na wengine kuanzia style ya nywele, ndevu hadi mavazi.
tumblr_m8nq4vm9QZ1r2syj2o1_1280
9ef419f84502ef126a6ce53d796a5efb
61fdb59316cbfeaa421eea49100bb4c2
11. Andrea Pirlo anatajwa kuwa akivaa mavazi mengine tofauti na mavazi ya soka unaweza usimtambue kwa muonekano wake aliyo nao.
tumblr_n7bxuzm7yr1qffprko1_1280
Andrea+Pirlo+Italy+Arrives+Estonia+VzeFbEIQR96x
12. Keisuke Honda mjapan pekee aliye bahatika kuwa katika hii list ya wakali wa style kwa muonekano na mavazi .
marcus-tulio-honda-keisuke-honda-2010-6-6-9-50-33
9de2e-hondasalute
March 4, 2014, Tokyo, Japan : Japanese footballer Keisuke Handa of Serie A club Milan arrives at Narita International Airport in Chiba prefecture, Japan, on March 4, 2014.

No comments:

Post a Comment