TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Monday, September 21, 2015

Mtoto wa Beckham amelikataa soka? Haya ndio maneno yaliyomuumiza baba yake

David Robert Joseph Beckham ni staa wa Soka ambaye kastaafu Soka na kuacha Rekodi kubwa na nzuri zinazoheshimika Duniani, yako maneno kwamba maji hufuata mkondo, mtoto wa Beckham na Soka la Baba yake je?
Stori ni vice versa, David Beckham kathibitIsha kwamba mtoto wake na Mchezo wa Mpira wa Miguu hata haviendani >>> “Mwanangu mmoja aliniambia kwamba haoni kama atakuja kuwa Mchezaji wa Mpira wa Miguu kwenye maisha yake, ilinivunja moyo kwa upande mwingine“- David Beckham.
BECKHAM_main_1473299a
Beckham akiwa na Familia yake kwenye matembezi yao.
Kwenye sentensi nyingine Beckham anasema mtoto wake ana hofu kwamba wapo watakaolinganisha kiwango chake na baba yake >>> “Kila nikiingia uwanjani najua watu wanasema ‘yule ni mtoto wa Beckham’, nisipokuwa na kiwango kizuri kama wewe hata haipendezi“- David Beckham.
David-and-his-sons

No comments:

Post a Comment