TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Wednesday, April 29, 2015

Shambulio la kigaidi Nigeria, hili limehusisha kituo cha Redio

Bomb-scare
Nigeria ni moja ya nchi ambazo zimeripotiwa kuwa na mashambulizi mengi yanayohusiana na ugaidi.. bado kuna ripoti za mashambulizi mara kwa mara, bado pia kuna ishu ya wasichana 270 abao walikamatwa na kundi la Boko Haram, mwaka mmoja umepita na bado hakuna dalili za wasichana hao kupatikana.
Leo kuna hii inayohusu watu wanne ambao wameuawa na wengine kujeruhiwa baada ya kituo cha Redio cha TA’O FM kilichopo eneo la Okene Jimbo a Kogi kulipuliwa kwa bomu jana usiku.
Bado haijafahamika sababu za kulipuliwa kwa kituo hicho na hakuna kikundi chochote cha kigaidi ambacho kimedai kuhusika na shambulio hilo mpaka sasa huku Polisi wakiendelea na uchunguzi.
Waliofariki kwenye tukio hilo ni jamaa wanne ambao walikuwa walinzi wa Kituo hicho.

No comments:

Post a Comment