TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Tuesday, April 21, 2015

Mosri kuhukumiwa leo 


Mohamed Morsi
Mahakama nchini Misri inatarajiwa kutoa hukumu kwenye kesi kadha zinazomkabili rais wa zamani Mohammed Morsi ambaye aliondolewa madarakani na jeshi mwaka 2013.
Anakabuliwa na kesi pamoja na viangozi wengine wa kundi la Muslim Brotherhood kwa kuwachochea wafuasi kumuua mwandishi wa habari na waandamanaji wa upinzani wakati wa makabiliano nje ya ikulu ya rais mwaka 2012.
Mawakili wanamtetea bwana Mosri wamasema kuwa huenda akakabiliwa na hukumu ya kifo. Mamia ya wafuasi wa kundi la Muslim Brotherhood wamehukumiwa kifo katika mikakati ya kukabiliana na kundi hilo lililopiwa marufuku na rais wa sasa Abdul Fattah al-Sisi.
Kundi la Muslim Brotherhood limemlaumu rais kwa kutumia mahakama kama silaha.CHANZO:BBC (Muro)

No comments:

Post a Comment