TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Thursday, July 16, 2015

ROBINHO AUFATA MKWANJA KWENYE LIGI YA CHINA 

bin
Mpira pesa kila siku hili neno linazungumzwa, club za China zinaona fursa kubwa ya kufanya biashara na makampuni mbalimbali ambayo yapo China kwenye soka. Sasa wanachokifanya ni kuleta majina makubwa ndani ya ligi ya China ili kuongeza ushabiki na kuiweka ligi yao kwenye ubora wa kimataifa.
Hivi sasa club ya Guangzhou imemsajili mchezaji Robihno ambae amewai kucheza club ya Manchester city. Club hii pia inanolewa na kocha mzoefu Filipe Scorali. Robihno alikua anahusishwa sana na kujiunga na club ya huko Abu Dhabi ainaitwa Al Jazira.
Ukitaka kuona fursa kubwa ya kibiashara kwenye club ya China unaweza kuona kwamba Shanghai Shenhua pia wanalipa $14.5 million kwa Besiktas ili kumpata mchezaji wa Senegal Demba Ba

No comments:

Post a Comment