TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Sunday, July 12, 2015

Kiongozi wa ADF akabidhiwa Uganda 

Kiongozi wa ADF akabidhiwa UgandaJeshi la Uganda linasema kuwa kiongozi wa kundi la waasi linalolaumiwa kwa mauaji ya karibu watu 1000 amekabidhibiwa Uganda baada ya kusafirishwa kutoka nchini Tanzania.
Jamil Mukulu ambaye alikamatwa nchini Tanzania mwezi Aprili, ni kiongozi wa kundi la ADF ambalo limelaumiwa kwa kuendesha mashambulizi mashariki mwa Uganda na mji mkuu Kampala.
Pia anatakikana kwa mashtaka yanayohusiana na vita nchini Jamhuri ya Demokrasi ya Congo.
Jeshi la Congo liliendesha oparesheni kubwa dhidi ya waasi wa ADF mwaka uliopita.CHANZO:BBC
IMECHOTWA KWENYE MTANDAO NA VICTOR SIMON

No comments:

Post a Comment