Hili ni jingine la kulijua kwenye familia za Cristiano Ronaldo na Messi.
Upinzani kati ya Lionel Messi na Cristiano Ronaldo
kuhusu nani bora zaidi ya mwenzake huwa ni mgumu kutupatia majibu
yaliosahihi kwa maoni ya watu hususani ukihusisha mashabiki wa pande
zote mbili, hata zile tuzo zinazotolewa za mchezaji bora wa dunia (Ballon D’or) huwa hazitoshi kuwaridhisha mashabiki wa upande mmoja kuwa kwa mwaka huu flani ni bora zaidi ya mwenzie.

Messi ana mtoto anaitwa Thiago na wa Cristiano ni Cristiano Ronaldo Jr cha kushangaza hapa ni tofauti ya siku iliyopo kati ya Thiago na Ronaldo Jr, mtoto wa Ronaldo ni mkubwa kwa Thiago na amempita kwa siku 869, hii ni sawa kabisa na tofauti iliopo kati ya Messi na Ronaldo

No comments:
Post a Comment