TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Tuesday, July 28, 2015

Jamaa aliachiwa mtoto mchanga akaamua kumnywesha maziwa aliyochanganya na pombe

bby grl
Dunia ina vituko vyake mtu wangu, na kwa wenzetu wa Marekani wakati mwengine vituko huzua madhara makubwa.
Nimekutana na hii moja inayomhusu Dontavian Eagle McCree mwenye miaka 19 aliyeachiwa jukumu la kukaa na mtoto wa dada yake wakati yeye akiwa kazini.
Dontavian-McCree
Siku moja wakati akiwa nyumbani na mtoto wa dada yake, Dontavian aliamua kumpatia mtoto huyo wa miezi 10 pombe, akachanganya pombe kwenye maziwa ya mtoto na kumnywesha.
Siku chache baadae mtoto alianza kuumwa na baada ya mama yake kugundua aliamua kumpeleka mtoto hospitali na ndipo alipogundua kuwa mtoto alinyweshwa pombe.
dddr
Dontavian Eagle McCree,19.
Dontavian amekamatwa na kupelekwa kituo cha polisi na thamani ya dhamana yake ni dola 15,000 ambayo ni sawa na Mil.30 za Kitanzania. Hali ya mtoto sio nzuri kabisa.

No comments:

Post a Comment