TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Wednesday, April 9, 2014

Kuhusu wale Wanajeshi wa Kenya kwenye kampuni za ulinzi Marekani

Screen Shot 2014-04-08 at 11.00.26 PM
Kesi dhidi ya Wanajeshi 27 wa zamani wa Kenya ambao walitoroka jeshini ili kujiunga na kampuni za ulinzi nchini Marekani imeanza katika kambi ya kijeshi ya Mtongwe Mombasa.
Unaambiwa Wanajeshi hawa wote walikua wakilitumikia jeshi la Kenya nchini Iraq, Afghanistan na Kuwait kati ya mwaka 2007 na 2008 na iwapo watapatikana na hatia wanaweza kufungwa jela kwa miaka miwili bila kupata nafasi ya kutozwa faini.
Inaaminika kilichowashawishi kuiacha kazi ya Serikali ni malipo makubwa pamoja na maisha yenye unafuu nchini Marekani.

No comments:

Post a Comment