Hivi ndivyo hali ilivyo eneo la Jangwani April 13

Hili
 ni eneo la Jangwani sehemu ambayo mara kadhaa inaponyesha mvua kubwa 
hua inakumbwa na mafuriko kwa haraka kutokana na mto ulio eneo 
hilo,millardayo.com ilipita eneo hilo ili kuangalia kinachoendelea kwa 
sasa baada ya mvua kunyesha.
Serikali ya mtaa ya Jangwani imejichanga na kwa pamoja imeleta Kijiko
 kwa ajili ya kuchimba ili maji yaliyokwama kwenye makazi ya watu yatoke
 na watui kurejea majumbani kwao ambapo pia wame-amplify taarifa ya 
kujaa kwa Camp zao ambazo waliziandaa kwa chochote kinachoweza kutokea.
Jumla ya Camp hizo ni 4 zilizopo eneo la Jangwani na kila Camp ina 
watu wasiopungua 80,hizi ni picha za eneo la Jangwani lilivyo kwa siku 
ya leo April 13.








                                                Miongoni mwa viongozi wa Jangwani
No comments:
Post a Comment