TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Thursday, April 24, 2014

Bomu jingine tena limelipuka Kenya na kuua

 Matukio ya kigaidi yamekua yakichukua vichwa vya habari mara nyingi nchini Kenya hasa baada ya nchi hiyo kupeleka wanajeshi wake nchini Somalia kupambana na wanamgambo wa kikundi cha kigaidi cha Al Shabaab.

Saa tatu na nusu usiku wa April 23 2014 millardayo.com imepokea taarifa kutoka kwa ripota wake nchini humo Julius Kipkoitch kwamba bomu jingine limelipuka ndani ya gari karibu na kituo cha Polisi Nairobi.
Waziri wa mambo ya ndani amethibitisha kwa kusema Polisi wawili wamepoteza maisha kati ya watu wanne ambao wameuwawa huku hao wengine wawili wakihofiwa kuwa ni Mahabusu waliokuwemo kwenye gari hilo na Polisi.
Ripota Julius wa TZA anaendelea kufatilia zaidi kwa ajili ya kukufahamisha hapahapa kupitia

No comments:

Post a Comment