TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Wednesday, September 17, 2014

Picha 5 za kilichotokea kwenye mpaka wa Sudan na Uganda. #vurugu

Uganda 5
Ripota wa TZA nchini Uganda Bill the African ameripoti kuhusu hii ya vurugu kubwa kutokea kwenye mpaka wa Uganda na Sudan eneo la Ufoju kutokana na raia wa nchi hizi mbili kutoafikiana kwenye baadhi ya mambo ambapo pia baadhi ya viongozi wa Uganda kwenye eneo hilo walikamatwa na Polisi wa Sudan.
Kikubwa kinachosababisha vurugu hizi ni mipaka ya hizi nchi kushindwa kujulikana kila mmoja anatakiwa kuishia wapi ambapo pia Waganda ambao wamekua wakiingia Sudan wamekua wakikamatwa na Polisi wa Sudan na kupewa mateso makubwa.
Uganda 4
Jeshi la Polisi Uganda limesema kwamba katika vurugu hizi karibu nyumba 15 za raia wa Sudan wanaoishi Uganda zimechomwa moto likiwemo kanisa la kipentekoste linalodaiwa kuwa la raia wa Sudan.
Uganda 3
Uganda 1
Uganda 2

No comments:

Post a Comment