TASWIRA KUTOKA NJE YA MAHAKAMA KUU DAR KABLA YA HUKUMU YA ZITTO
Mbunge
wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, Zitto Z. Kabwe pamoja na Mwanasheria
wake,Albert Msando (kulia) wakiwasili katika Mahakama Kuu jijini Dar es
Salaam leo huku wakiongozana na wafuasi wanaopinga kuvuliwa uongozi
wake,tayari kwa kwenda kusikiliza kesi yake aliyoifungua dhidi ya Chama
Chake cha CHADEMA inayosikilizwa leo Mahakama Kuu.
Mbunge
wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, Zitto Z. Kabwe pamoja na Mwanasheria
wake,Albert Msando (kulia) wakiwasili katika Mahakama Kuu jijini Dar es
Salaam leo huku wakiongozana na wafuasi wanaopinga kuvuliwa uongozi
wake,tayari kwa kwenda kusikiliza kesi yake aliyoifungua dhidi ya Chama
Chake cha CHADEMA inayosikilizwa leo Mahakama Kuu.
Ulinzi ukiwa umeimarishwa katika mlango wa kuingia Mahakama Kuu leo.
No comments:
Post a Comment