TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Sunday, January 19, 2014

MATUKIO YA PICHA YA MKUTANO WA INJILI ULIOKUWA UKIFANYIKA KATIKA VIWANJA VYA MAJOHE KWA WALIOBA
Mchungaji Salome kutoka Kigamboni akihubili katika viwanja hivyo

Nabii Godson wa kanisa la Habari Njema na Mchungaji Neema wakiwa wanasikiliza mahubiri

Watu waliohudhuria mkutano huo wakisikiliza mafundisho


Watu wakisikiliza mafundisho





Nabii Godson akiombea maji ambayo watu walikuja nayo mkutanoni kwa ajili ya maombezi ya kufunguliwa matatizo mbalimbali





Mama akitoa ushuhuda baada ya kupokea uponyaji wa mguu uliokuwa ukimsumbua na kujikuta mzima baada ya maombezi
Shuhuda zikiwa zinaendelea mama huyo alikuwa akisumbuliwa na tumbo sasa anaendelea vizuri

Mama huyo nae alikuwa akisumbuliwa na tumbo nae amepokea uponyaji baada ya maombezi

No comments:

Post a Comment