MATUKIO PICHA MAPOKEZI MWILI WA DR WILIAMU MGIMWA

Mwili wa marehemu ukishushwa katika uwanja wa ndege wa nduli iringa

Jeneza likifunikwa kwa bendera ya Taifa mara baada ya kushushwa katika ge

maofisa wakinyanyua jeneza tayari kwa ajili ya kupakiwa kwenye gari uwanjani hapo

Mwili wa marehemu ukipelekwa kwenye gari

Madiwani wa mkoani iringa wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa marehemu

Mwili wa marehemu ukiwa kwenye ukumbi wa siasa ni kilimo tayari kwa kuagwa na wakazi wa iringa

Askofu Ngalalekumtwa akimuombea marehemu

Waziri mkuu Mizengo Pinda akitoa heshima zake za mwisho kwa marehemu

Umati wa wananchi wa Iringa wakiwa na huzuni wakisubiri kutoa heshima zao za mwisho kwa mwili wa marehemu

Wananchi wa Iringa walijitokeza kwa wingi kuuaga mwili wa marehemu
Picha na Mnyalu (P.T)
No comments:
Post a Comment