MABINGWA WA AFRIKA MASHARIKI NA KATI YANGA WALALA 3-0
Dar
 es Salaam Young Africans wameendeleza mwanzo mbaya wa Ligi Kuu Tanzania
 bara baada ya kukubali kichapo cha mabao 3-0 toka kwa wakata miwa 
Mtibwa Sugar. Wakati huo Mnyama ameendelea kuunguruma uwanja wa Taifa 
baada kuichapa JKT Ruvu 2-0 Kwa mabao ya Amri Kiemba na Haruna Moshi 
Boban, pamoja na kucheza pungufu baada ya Emmanuel Okwi kupewa kadi 
nyekundu kipindi cha kwanza. 
 
No comments:
Post a Comment