TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Thursday, September 20, 2012

JK AMTEUA RISHED BADE KUWA NAIBU KAMISHNA MKUU WA TRA
Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana Rished Bade (pichani) kuwa Naibu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Taarifa hiyo ilitolewa Jumatano Septemba 19,2012 na Ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Y Sefue kupitia Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais - Ikulu , imesema kuwa uteuzi huo umeanza jumatatu wiki hii Septemba 17,2012.
Kabla ya uteuzi wake Bwana Bade alikuwa Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Tanzania Mortage Finance CO.LTD

No comments:

Post a Comment