TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Thursday, January 22, 2015

Tayari hukumu ya kesi ya Rihanna na waliotumia picha yake kwenye nguo imetolewa

Rihanna Bebz 
Kuna vitu ambavyo Bongo mara nyingi watu huwa hawafuatilii lakini kumbe upande mwingine ni big deal.
Kuna siku nimekutana na tshirt zenye picha za mastaa wa Bongo zikiwa zinauzwa kwenye duka moja town, sina uhakika kama ni kweli wasanii husika wanahusishwa kwenye biashara hii!
Story kutoka Uingereza, Mahakama ya rufaa London imetoa hukumu ya kesi ya madai kati ya Rihanna na duka la Topshop Arcadia ambalo linauza nguo, Rihanna aliwashtaki kwa kuuza nguo zenye picha yake bila kuwa na makubaliano yoyote na duka hilo.
Kesi hiyo ilitolewa hukumu mwaka 2013, wenye duka wakatakiwa kulia fidia ya dola laki 5 lakini wakakata rufaa ambayo kwenye hukumu ya Mahakama ya rufaa, Rihanna kashinda tena.
bil
Hii ni moja ya Tshirt yenye picha ya Rihanna

No comments:

Post a Comment