TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Monday, January 19, 2015

CAMERON :NI SAWA NA MAGAZETI KUKERA

David Cameron na Rais Obama mjini Washington juma hili
Waziri Mkuu wa Uingereza, David Cameron, amepinga matamshi ya Papa ya juma lilopita aliposema kuwa siyo sawa kufanya mzaha juu ya imani ya watu wengine.
Akijibu kuhusu mashambulio yaliyofanywa na wapiganaji Waislamu dhidi ya gazeti la Ufaransa la Charlie Hebdo, Papa alisema iwapo mtu atamtusi mama ake, ataraji ngumi.
Bwana Cameron hata hivyo alisema katika nchi huru kuna haki ya kukera kuhusu dini ya mtu mwengine.
Aliliambia shirika la habari la CBS la Marekani, kwamba vyombo vya habari vinafaa kuweza kuchapisha vitu ambavyo vinawakera baadhi ya watu - ikiwa siyo kinyume na sheria.
CHANZO:BBC

No comments:

Post a Comment