TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Saturday, August 16, 2014

TANZANIA MWENYEJI WA MASHINDANO YA MAJESHI YA AFRIKA MASHARIKI  0114

Mkuu wa Bregedi ya Nyuki ambae ni Makamo Mwenyekiti wa michezo ya Majeshi Bregedia Jenerali Sharif Sheikh Othman akizungumza na waandishi wa habari kuhusu michezo ya nane ya Majeshi ya Jumuia ya Afrika Mashariki. Mkuta huo umefanyika huko Bregedi ya Nyuki Migombani Zanzibar.
02
03
Waandishi wa Habari kutoka vyombo tofauti wakimsikiliza Bregedia Jenerali Sharif Sheikh Othman (hayupo pichani) katika Mkutano wake na wandishi leo.(P.T)
04
05
Mkurugenzi wa ufundi wa mashindano hayo upande (JWTZ) Luteni  Kanali Joseph Bakari akitoa ufafanuzi wa Michezo hiyo.
06
Mmoja wa uwanja utakaotumika katika mashinda hayo, uliopo Bregedi ya Nyuki Migombani nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
Chanzo:shaffihdauda.com

No comments:

Post a Comment