TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Wednesday, August 27, 2014

Official: Everton yamsaini Samuel Eto’o lakini kuna kulichomsononesha

IMG_6758.JPG
Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya FC Barcelona na Chelsea Samuel Eto’o amekamilisha usajili wa kujiunga na Klabu ya Everton pamoja na kwamba alikuwa akikaribia kujiunga na Liverpool.
Everton amesaini mkataba wa miaka miwili ambapo nahodha huyu wa timu ya taifa ya Cameroon ameripotiwa kusononeshwa na uhamisho wake kwenda Liverpool kufeli wakati akiwa tayari alishafanya mpaka vipimo vya afya.
kwenye sentensi nyingini ni kwamba Eto’o anatarajiwa kuanza kuichezea Everton weekend hii kwa mechi dhidi ya Chelsea ambayo aliitumikia msimu uliopita.

No comments:

Post a Comment