TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Thursday, August 21, 2014

Mtoto wa Jackie Chain akamatwa na gram 100 za bangi

jacki
Jackie Chain ambaye aliwai kuwa balozi wa kampeni za kupinga matumizi ya dawa za kulevya amejikuta kwenye wakati mgumu na kumlazimu kuomba msamaha kwa kwa ajili yake na kwa niaba ya mwanae Jaycee Chain.
Kwenye website yake Jackie Chain ameandika, “Kutokana na swala la mwanangu Jaycee, nimekasilishwa na nimeshtushwa sana. Kama kioo cha jamii najiskia aibu sana, pia kama baba nimeumizwa sana. Mimi na Jaycee kwa pamoja tulazimika kuomba msamaha kwa jamii nzima”.
Jaycee Chain mtoto wa movie star Jackie Chain amekutwa na gram 100 za marijuana kwenye nyumba yake. Jaycee pia ni muigizaji kama baba yake.
ja

No comments:

Post a Comment