TIFFAN ENT

TIFFAN ENT

TUKO WANGAPI

TUKO WANGAPI

GLORY FREIGHT

GLORY FREIGHT

Wednesday, August 27, 2014

Official: Angel Di Maria ni mchezaji mpya wa Man United na kaivunja hii rekodi

IMG_6749.JPG
Ishu ya usajili wa mchezaji wa kiargentina Angel Di Maria kwenda klabu ya Manchester United kutokea Real Madrid imemalizika rasmi usiku wa August 26 2014 baada ya Manchester United kuthibitisha kukamilisha usajili huo kwa ada ya uhamisho £59.7m.
Hii ada ya uhamisho imeweka rekodi mpya ya uhamisho nchini Uingereza ikivunja rekodi ya £50m ambayo Chelsea waliilipa Liverpool kwa ajili ya usajili wa Fernando Torres.
Di Maria amekabidhiwa jezi namba 7 na amesaini mkataba wa miaka mitano wa kuitumikia Manchester United.
IMG_6752.JPG
IMG_6750.JPG
IMG_6751.JPG
IMG_6748.PNG

No comments:

Post a Comment